Historia na Maadhimisho

  • Magofu ya GEDE

    Magofu ya Gedi, pia yanajulikana kama Gedi, ni eneo la kiakiolojia iliyo kwenye pwani ya Kenya, karibu na mji wa Malindi. Utakapofika lango la eneo hili utakaribishwa vyema sana na tumbili. Iwapo unataka kutazama tabia zao za kupendeza basi ndizi ni chakula chao. Unaweza kununua ndizi na kuwalisha Kwa manufaa yako. Sehemu hii Ina historia Continue reading

  • Hell’s Kitchen

    Hell’s Kitchen ni eneo lenye umaarufu mkubwa katika Marafa, Malindi nchini Kenya. Eneo hili linajulikana kwa mandhari yake nzuri na kipekee. Hell’s Kitchen linajumuisha mabonde yaliyochongeka na kuwa miamba na maumbo ya ajabu, ambayo hutoa picha ya kuvutia. Vitu vya kuzingatia:Tafadhali tembelea Hell’s Kitchen wakati wa asubuhi na baada ya saa 2:30 alasiri. Unauliza kwa Continue reading

  • Chuo Kikuu Cha Pwani

    Chuo Kikuu cha Pwani, ni chuo cha umma kilichoko Kaunti ya Kilifi, Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 2007 kama chuo kishiriki cha Kenyatta na baadaye kupata hadhi kamili ya chuo kikuu mnamo 2013. Chuo hiki kinapatikana katika eneo la pwani la Kenya, karibu na mji wa Kilifi. Chuo kikuu cha Pwani kinatoa programu mbalimbali za shahada Continue reading

  • Father’s Day

    Father’s Day is a special day dedicated to honoring fathers and celebrating their contributions to the family and society. It is typically observed on the third Sunday in June in many countries around the world, including Kenya. Father’s Day provides an opportunity to show appreciation, love, and gratitude to fathers and father figures for their Continue reading

  • Sergio De Mello – True Story

    Sergio Vieira de Mello was a Brazilian diplomat who dedicated his life to humanitarian work. He was born in Rio de Janeiro in 1948 and obtained a degree in philosophy from the Catholic University of Rio de Janeiro in 1969. In 1969, he joined the United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR) and began his Continue reading

  • SIKUKUU YA MAMA

    Siku ya Mama ni siku ambayo tunatambua na kuadhimisha umuhimu wa mama na jukumu kubwa ambalo wanalo katika maisha yetu. Siku hii huadhimishwa kila mwaka katika nchi nyingi duniani, kawaida siku ya pili ya Jumapili ya Mwezi wa Tano. Siku ya Mama ilianza kama harakati za kuwaheshimu mama na wanawake katika miaka ya 1900. Mwanaharakati Continue reading

  • Wasifu Wa Nelly Cheboi

    Mwanamke Shujaa, Nelly Cheboi. Taswira kamili inanijia akilini mwangu. Si ndoto Wala soga ya aina yoyote. Inaweza kuwa ni sadfa ila sivyo. Ni kweli wala si uvumi. Ni taswira ya mtoto wa kike, hivi Sasa mwanamke. Wanasema waswahili kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha. Ni katika Kijiji kisichojulikana katika eneo lolote la Afrika ama hata Continue reading

  • Shairi ya Kimapinduzi

    Mgongo wake unauma.Dhiki nzito kuliko mzigo alioubeba.Familia yake nyumbani inalia, na leo anarudi nyumbani Mwanamapinduzi Hakiki.Lakini akiwa hana lolote la kuwaonyesha watoto wake Na mkewe aliyechoka Zaidi ya simulizi.Papa alitoka kupigania kesho Japo ameleta vuruguAna matumaini kwa namna fulani alitikisa mlalaheri,Zinazojificha chini ya uongo.Papa alitoka, kwendakuomba kwa amani, mkate na chai, tafadhali Lakini vitoa machozi Continue reading

  • Revolutionary Poem

    His back aches.Burdens greater than the load he carriesHis family at home cries and today he walks homeA CELEBRATED revolutionary But with nothing to show his kidsAnd his tired wifeOther than a storyPapa went out to fight for tomorrow He might have messed up butHe hopes somehow he shook the dynasties That hide under liases.Papa Continue reading

  • Women’s Day Poem

    On this Women’s Day, my dear friend,I want to celebrate you,For all the strength and grace you lend,And all the things you do. You shine so bright in all you do,A beacon of hope and love,You inspire me to be true,And reach for the stars above. In every challenge you face,You rise up with fierce Continue reading

About Me

Welcome to my blog, MTU KUZI, a space dedicated to informing and educating a diverse audience without bias toward age, gender, race, or any other distinguishing factor. I am a seasoned professional with a deep foundation in communication, translation, administration, and education. My extensive experience spans prestigious roles at institutions like Pwani University, Mozilla Foundation, KIPPRA, and teaching Kiswahili at the University of Carolina – Chapel Hill.As a Kiswahili expert, I specialize in translating between English and Kiswahili and tutor both languages with a focus on immersive, practical learning experiences. My expertise in Kiswahili not only enhances my teaching but also enriches my translations, allowing for culturally and contextually accurate communication.In this blog, I leverage my skills and experiences to create content that bridges cultural divides and fosters understanding. Proficient in various software applications and online collaboration platforms, I aim to streamline communication processes and engage with a global audience effectively.You are invited to join me on this journey of exploration and learning. Follow MTU KUZI on Facebook, Twitter, Instagram, and LinkedIn to stay updated and connected. Thank you for visiting, and I look forward to sharing more with you.

Newsletter