entertainment

  • This Girl

    This Girl

    Today I walked into a room that smelled of roasted meat and old moneymen sat around the table with faces carved in seriousnessplanning where our savings would go I was meant to listenmeant to join in the plottingbut then she appeared the light found her before my eyes didin that moment the conversation died her Continue reading

  • Moyo wangu

    Hili si jambo la milele nililotamani, Mawimbi haya makali, naona Maisha tuliumbiwa kuteseka na kuteswa tu… Natafuta faraja popote nionapo panapo, Chini ya mbuyu natulia, utulivu wa fikra tu, ‘Hii Maisha ungebadilisha iwapo ungeelewa maneno hayo, ukweli usiojua ni kuwa-Sitoweza kusahau, wino wa maneno yako isofutika’ Mwishowe, nahisi uzito tu ndani ya moyo wangu, Naona Continue reading

  • Sikio la Mama!

    Sikio la Mama!

    Katika kijiji kimoja cha Sikujua, kulikuwa na familia moja, baba, mama na mtoto wao mmoja aliyeitwa TikTok. TikTok alikuwa kijana mwenye busara na heshima, lakini ghafla tatizo la kifamilia likatokea. Waliosema na walisema: “Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, na kuzaa mwana si kazi, bali kulea ndio kazi.” TikTok alipofanya kosa na baba yake akataka kumwadhibu mama Continue reading

  • ASILI YA JAMII YA KALENJIN!

    Utamaduni inahusu Mila, asili, mitazamo na desturi au Maisha ya jamii Kwa jumla. Kama tunavyojua utamaduni ni nyenzo muhimu sana katika kulea lugha Fulani, jamii nayo huipa lugha jina na eneo la linalotumika. Utamaduni huonyesha shughuli za Kila siku za jamii Fulani. Kalenjin ni Jamii kubwa inayounganisha lahaja mbalimbali, mojawapo ya lahaja hiyo ni Kipsigis. Continue reading

  • MURSIK: URITHI TAJIRI WA KALENJIN

    MURSIK: URITHI TAJIRI WA KALENJIN!Mursik, ni maziwa iliyochacha Katika jamii ya Kalenjin, Ni maziwa ambayo ni nadra sana kukosekana wakati Wa mlo au sherehe yoyote Ile. Kama mpenzi Wa maziwa hii, nimeweza kusoma na kusikiliza mengi kuhusu mchakato mzima Wa kutengeneza Mursik Katika jamii ya Kalenjin.Kalenjin ni mojawapo ya jamii Katika ukanda Wa blonde la Continue reading

  • Mwangwi Wa Usaliti

    Mara nyingi, tunatarajia kwamba marafiki na wenzetu watasherehekea na kutusaidia tunapofanikiwa katika maisha yetu. Hata hivyo, kuna wakati ambapo mafanikio ya haraka yanaweza kusababisha mabadiliko katika uhusiano wetu na watu wengine. Mara nyingi, mtu anayepata hadhi ya muda mfupi huenda akakumbwa na mabadiliko katika maisha yake, iwe ni kifedha, kijamii, kikazi na mara nyingi uhusiano Continue reading

  • Father’s Day

    Father’s Day is a special day dedicated to honoring fathers and celebrating their contributions to the family and society. It is typically observed on the third Sunday in June in many countries around the world, including Kenya. Father’s Day provides an opportunity to show appreciation, love, and gratitude to fathers and father figures for their Continue reading

  • SIKUKUU YA MAMA

    Siku ya Mama ni siku ambayo tunatambua na kuadhimisha umuhimu wa mama na jukumu kubwa ambalo wanalo katika maisha yetu. Siku hii huadhimishwa kila mwaka katika nchi nyingi duniani, kawaida siku ya pili ya Jumapili ya Mwezi wa Tano. Siku ya Mama ilianza kama harakati za kuwaheshimu mama na wanawake katika miaka ya 1900. Mwanaharakati Continue reading

  • Gunjan Saxena-True Story

    “Gunjan Saxena: The Kargil Girl.” The film highlights the struggles and triumphs of a woman who dared to break gender stereotypes and pursue her passion, ultimately becoming a role model for young women in India. The movie’s message of perseverance and determination despite obstacles is one that can resonate with people worldwide, regardless of gender Continue reading

About Me

Welcome to my blog, MTU KUZI, a space dedicated to informing and educating a diverse audience without bias toward age, gender, race, or any other distinguishing factor. I am a seasoned professional with a deep foundation in communication, translation, administration, and education. My extensive experience spans prestigious roles at institutions like Pwani University, Mozilla Foundation, KIPPRA, and teaching Kiswahili at the University of Carolina – Chapel Hill.As a Kiswahili expert, I specialize in translating between English and Kiswahili and tutor both languages with a focus on immersive, practical learning experiences. My expertise in Kiswahili not only enhances my teaching but also enriches my translations, allowing for culturally and contextually accurate communication.In this blog, I leverage my skills and experiences to create content that bridges cultural divides and fosters understanding. Proficient in various software applications and online collaboration platforms, I aim to streamline communication processes and engage with a global audience effectively.You are invited to join me on this journey of exploration and learning. Follow MTU KUZI on Facebook, Twitter, Instagram, and LinkedIn to stay updated and connected. Thank you for visiting, and I look forward to sharing more with you.

Newsletter