Shairi ya Kimapinduzi

Mgongo wake unauma.
Dhiki nzito kuliko mzigo alioubeba.
Familia yake nyumbani inalia,
na leo anarudi nyumbani
Mwanamapinduzi Hakiki.
Lakini akiwa hana lolote la kuwaonyesha watoto wake
Na mkewe aliyechoka
Zaidi ya simulizi.
Papa alitoka kupigania kesho
Japo ameleta vurugu
Ana matumaini kwa namna fulani alitikisa mlalaheri,
Zinazojificha chini ya uongo.
Papa alitoka, kwenda
kuomba kwa amani, mkate na chai, tafadhali
Lakini vitoa machozi kapewa
Hata hivyo ana matumaini
Italeta mabadiliko.
Na kesho mtakapokuwa viongozi
Karibu na hiyo nguzo ya Tom mboya,
Utasimama na kusema
Papa alikuwa na masuala Kwa kiongozi na si mengi,
Lakini alipigania kile alichojua ni kweli!



Leave a comment

About Me

Welcome to my blog, MTU KUZI, a space dedicated to informing and educating a diverse audience without bias toward age, gender, race, or any other distinguishing factor. I am a seasoned professional with a deep foundation in communication, translation, administration, and education. My extensive experience spans prestigious roles at institutions like Pwani University, Mozilla Foundation, KIPPRA, and teaching Kiswahili at the University of Carolina – Chapel Hill.As a Kiswahili expert, I specialize in translating between English and Kiswahili and tutor both languages with a focus on immersive, practical learning experiences. My expertise in Kiswahili not only enhances my teaching but also enriches my translations, allowing for culturally and contextually accurate communication.In this blog, I leverage my skills and experiences to create content that bridges cultural divides and fosters understanding. Proficient in various software applications and online collaboration platforms, I aim to streamline communication processes and engage with a global audience effectively.You are invited to join me on this journey of exploration and learning. Follow MTU KUZI on Facebook, Twitter, Instagram, and LinkedIn to stay updated and connected. Thank you for visiting, and I look forward to sharing more with you.

Newsletter