Usife moyo


Mara nyingine unachokiamini na kinachoendelea kwenye maisha yako huwa ni vitu viwili tofauti kabisa.

Unamaamini katika kuwa mtu mkuu lakini kwa leo hakuna anayekuamini,unaamini kuwa mfanyabiashara mkubwa lakini hauna mtaji wa kuanzia,unaamini katika kuwa mtu mwenye ushawishi lakini leo hakuna mtu aliye tayari Kuamini na kukupa fursa hata ndogo tu.

Moja ya nyakati ambayo wengi huipoteza ndoto yao ni pale ambapo wanachokiona ndani yao hakifanani na kinachoendelea nje yao. Usisahau hiyo ni kanuni ya kawaida ya Maisha, Kuanza kuishi ndoto yako ndani kabla haujaishi nje yako kwanza.

Kitu kikubwa ni kuendelea kuamini kuwa unawez na kuchukua kila hatua inayowezekana kwa wakati huo.

Usiache kuwa na mipango mikubwa eti kwa sababu mazingira yanaonekana yamegoma, La hasha! Endelea na mipango yako kama kawaida. Thomas Edson Aliwahi kusema “When a man puts limit on what he Will Do, He has put a limit on What He Can Do” .

Kuwa na Mipango mikubwa na kuamini katika kufanya makubwa katikati ya Changamoto hakutakugharimu chochote.



Leave a comment

About Me

Welcome to my blog, MTU KUZI, a space dedicated to informing and educating a diverse audience without bias toward age, gender, race, or any other distinguishing factor. I am a seasoned professional with a deep foundation in communication, translation, administration, and education. My extensive experience spans prestigious roles at institutions like Pwani University, Mozilla Foundation, KIPPRA, and teaching Kiswahili at the University of Carolina – Chapel Hill.As a Kiswahili expert, I specialize in translating between English and Kiswahili and tutor both languages with a focus on immersive, practical learning experiences. My expertise in Kiswahili not only enhances my teaching but also enriches my translations, allowing for culturally and contextually accurate communication.In this blog, I leverage my skills and experiences to create content that bridges cultural divides and fosters understanding. Proficient in various software applications and online collaboration platforms, I aim to streamline communication processes and engage with a global audience effectively.You are invited to join me on this journey of exploration and learning. Follow MTU KUZI on Facebook, Twitter, Instagram, and LinkedIn to stay updated and connected. Thank you for visiting, and I look forward to sharing more with you.

Newsletter